Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Mkuu usimtaje hapa watu watakimbia mlozi huyoMshana Jr hajaja usiku?
Mkuu usimtaje hapa watu watakimbia mlozi huyoMshana Jr hajaja usiku?
Hajapata bado sema anakuvutia kasi this time akija lazima umkubalie maana kaenda pangani kuchukua dawaHajaja na yeye sijui kapata siku hizi hajagi

Mtumishi hatumii hiyo kitu tasavali.kabisa huyu mtumishi ni hatari sana,,,,wacha nifurahi pamoja nae![]()
![]()
Ha haaaa hapo ulipo ashakujua na lazima usiku aje kukufanyia ziaraMkuu usimtaje hapa watu watakimbia mlozi huyo
Usiparamie mkuu, omba Mungu akuonyesheKwanza nikitongoza Mume Wa mtu msininunie maana najaribu bahati yangu
Sasa basi usiende kulala sahizi maana hata saa kumi jioni badoMpenzi hili neno linatosha kufanya siku yangu ya leo kuwa nafaraja sana na pia usingizi ukawa mnono sana..
Hutaki kuitwa baby pia?ngoja niaply ila tafadhali usiniite honey
Alafu nashangaa mshana jr amepotea pamoja na mpenzi wangu my sweetheart Nahrene ,nahisi kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia.Hajaja na yeye sijui kapata siku hizi hajagi
Haswaa...mpaka sasa nang'ara kwa niliyoyakuta.Umepakua huko
Hhahahahahaahah wacha nimyamaze maana nikisema ndoa mpya yaweza sambaratika kabisa....Mtumishi hatumii hiyo kitu tasavali.
Manuu cimuoni my angelDada angu upo?
Hebu nijaribu mimi tuone kama nitachomoa.Kwanza nikitongoza Mume Wa mtu msininunie maana najaribu bahati yangu
Sio saa, ni siku 3, yani hizo siku 3 unakuwa ni mtongozo heavy ambao haujawahi kutokea toka huu uzi uwekweHahah, nimesikia call kaka, am on it...
Saa tatu tu!! The passion i have for u will keep burning endless hata baada ya life after death, the day tht th sun cease to illuminate the world ndio passion na love hii itafika ukomo....

Nilikuwa hapa asubuhi... nikawaachia wenye shift zao Ha Ha haKaribu mpendwa uliadimika sana
Dada najua kabisa kuwa alikuwa rafiki ako na wewe ndiyo uliye nipigia pande ila kutana naye sasa akiwa si rafiki ako bali wifi ako..Amazing ananijua mi si ndo nilimtambulisha kwako au umesahau? Kaka bwana