Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,043
- 12,527
mkuu upo sahihi kabisa, jogoo hapandi mtungi bali anapanda mtetea ...Mkuu nimejua tu,kwani uongo!?
mkuu upo sahihi kabisa, jogoo hapandi mtungi bali anapanda mtetea ...Mkuu nimejua tu,kwani uongo!?
Mkuu mimi ndiye mwenye,hata Jimena analijua hiliYoungblood swali hilo ni la msingi, ebu tupe majibu fwasta😀😀😀
Mwenyewe ni ww kweli??
sio kwa Chevrolet anko kijana mwenyewe ata paso hanaHiyo ni zawadi ya ankali, kuolewa mi ndo ntalipa fadhila kwa kuolewa![]()
Mpenzi hili neno linatosha kufanya siku yangu ya leo kuwa nafaraja sana na pia usingizi ukawa mnono sana..
mkuu upo sahihi kabisa, jogoo hapandi mtungi bali anapanda mtetea ...
lakini si lazima watu wapige jeki?Sizza007 umeiona hii kweli changamkia
![]()
![]()
hapo naanza kukuelewa kama utaendelea na mistari hii zaidi na zaidi kwa muda wa siku 3 basi ombi lako linaweza kufanikiwa
Wazima mkuu,mambo vipi?Wazima humu
Shwari kabisa mvua tu ndo tatizo siku ya pili leo sijaliona juaWazima mkuu,mambo vipi?
Vigezo vya ibra balaa...sijui makalio kama ya sepetunga mimi nitayatoa wapi kama sio unyanyasaji huoYupo. Anaitwa ibra87
Pole sana,kuwa makini na mafuriko.Shwari kabisa mvua tu ndo tatizo siku ya pili leo sijaliona jua
Ina maana nyie wanaume mbona hamtaki kunisitiri jamani mie
weka qualifications zako chaapIna maana nyie wanaume mbona hamtaki kunisitiri jamani mie
Mkuu kwetu huku hakunaga mafurikoPole sana,kuwa makini na mafuriko.
Vigezo vya ibra balaa...sijui makalio kama ya sepetunga mimi nitayatoa wapi kama sio unyanyasaji huo
wewe mwenyewe umepigwa pasi.
Taratibu tuko prayer room, mtoto anatetemeka balaa mkuuNa couple yako ni ya 3?? Padre wewe kiboko![]()