teh teh iyo poa tu ila sasa ucje ukanletea pampasHutaki kuitwa baby pia?

Tatizo anaishi kwa ndotoVigezo vya ibra balaa...sijui makalio kama ya sepetunga mimi nitayatoa wapi kama sio unyanyasaji huo
na wew unaogopa?Watu kama nyie mnahitaji maombi sana, wanaume huwa wanaogope wenye confidence kama wewe mkuu
Amekula kiapo kuwa atawaepuka wengine mkuuTangu umpate amazing hata salamu shida
Nimekusikia mwanakamati nasiendi kulala tena..Ila ameleta maneno ya faraja sana kiasi kwamba nahisi nikiendelea kuzurura naweza aribiwa mood..Sasa basi usiende kulala sahizi maana hata saa kumi jioni bado
Mkuu hata Dada zake atatuepuka??Amekula kiapo kuwa atawaepuka wengine mkuu
Nawe acha kuremba sema neno asikie,Jimena, nna ujumbe wako
Sio saa, ni siku 3, yani hizo siku 3 unakuwa ni mtongozo heavy ambao haujawahi kutokea toka huu uzi uwekwe![]()
Oooh sumu ya panya, unamwitaji Yesu weweHakishuki kabisa nimeamua kuacha,labda nijaribu sumu ya panya.
Ukizubaa umeachwa.Page zinakimbia utadhani kasi ya utumbuaji!!
Hahahahah wacha nitumie kipaza sauti kumtafuta maana huku watu hawaaminiki kabisa... Patience123 popote ulipo unahitajika hapa..Manuu cimuoni my angel
Teh teh teh..inaanzaje kusambaratika kwa mfano?wakati nimeng'ang'ania kama superglue? Hapa nitabanduka na ntu.Hhahahahahaahah wacha nimyamaze maana nikisema ndoa mpya yaweza sambaratika kabisa....
Naenjoy hii misele inayopigwa hivyo usiniharakishe kabisaaaaaJimena tuambie kamoyo kako kamenasa wapi atii
Ndio maana huku leo mshana hayupo..Hajapata bado sema anakuvutia kasi this time akija lazima umkubalie maana kaenda pangani kuchukua dawa![]()
![]()
![]()
Page zinakimbia utadhani kasi ya utumbuaji!!
Nawe acha kuremba sema neno asikie,
Kweli aisee nshachaji Faith1 yangu Mara nne sasa Na sijasoma page kibao..Ukizubaa umeachwa.