Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nikiwa kitandani kwangu leo asubuhi nikawa natafakari na kujiuliza "ni nini siri ya mafanikio, nifanye nini nifanikiwe?" majibu ya kufanikiwa nikayapata mulemule room kwangu.

Feni ikaniambia niwe cool nisikurupuke, dali ikaniambia "fikiri juu zaidi", madirisha yakaniambia "tizama nje uone fursa zilizopo ulimwenguni", saa ya ukutani ikaniambia "kila sekunde ina thamani sana katika maisha, muda ni mali."

Kioo kikaniambia "Jitizame na ujiamini kabla hujafanya jambo". Kalenda ikaniambia, "mwaka wako wa mafanikio ndio huu." Mlango ukaniambia "Sukuma kwa nguvu kwa ajili ya malengo yako." Choo kikaniambia "flash tabia zako zote mbaya zinazokufanya uendelee kuwa chini." kitanda kikaniambia "Inuka bwana mkubwa umenilalia vya kutosha nimechoka"

Na nilipokiona kitabu cha dini kikacheka na kuniambia "Nisome mimi kwa ajili ya kuenenda njia zilizonyoka, ili mwovu shetani asikupate."

Nikaamka nikiwa na nguvu mpya pamoja na matumaini mapya!

Mwenyezi Mungu, abariki kazi halali za mikono yetu, sisi ni vichwa na wala si mikia.

Nawatakia siku njema!!
Ujumbe wa Leo..
 
Una moyo sana, yani mpenzi kapotea na unaenda kupata lunch?? Haya enjoy

Kwangu mie Jimena will come first before anythng n anybody, siwezi kula kama mtoto ana kiu
Siwezi lala kama mtoto ana hofu
Nitamlinda dhidi ya njaa, kiu, hofu, upweke, baridi, joto na unyonge.

Kwa jimea huyu ntasacrifice all just to see that beautiful smile on her beautiful face🙁🙁🙁
 
Nashukuru sana mwanakamati na naomba umwite na mpenzi wangu sasa umueleweshe maana alishaanza kunihukumu na yeye kupitia ulichosema pale juu amaizing nakupenda sana mae..
Cc amaizing hebu pita hapa uone mahaba yalivyozidi, yani ukipoteza nafasi hii.... Nakuhahakikishia kumpata wa aina hii itachukua muda hivyo muelewe tu, hakusema yale kwa nia mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom