Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kaka usiwaze sana wifi atakuwa prayers room anafanya maombi ndoa yetu itimie

Jana manuu alipotea Leo karud kaja na kisingizio cha prayer room

Basi wifi nae atakuwa huko...tuvute subra atarudi tu
Kabisa youngblood shemeji kuwa na amani unajua unapojikabidhi magotini mwa bwana huwa haraka haitakiwi kabisa...Tuendelee atakuja tu kama mpenzi alivyosema hapa atakuwa yupo sehem salam kwa ajili ya jambo jema kabisa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom