manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Ubarikiwe mtumishiWakuu hapana acha Mungu mim, pia Mungu naye si lazima anipe k2 kizuri jamani!
Ubarikiwe mtumishiWakuu hapana acha Mungu mim, pia Mungu naye si lazima anipe k2 kizuri jamani!
Mim dio zakayo mkuu, mimi ni jitu la vita nalikwambia jana, au mzee wa kudimamisha jua...Mr. Jo...nadhani hadi hapo na jina umelifahamu wew ni msomi wa bible.Jamani jambilo unataka usikie nin ili ujue ni yesu wa nazareth anapita, siku ya leo amekuchagua wewe na si Zakayo..
Kwanza mimi nina shida kubwa sana naomba msaada.Haya nipeni habari mpya sasa? Niliwamiss
Karibu sana mpendwa wangu, you make my day...Nishasema kitambo sana ntu wangu...hii madini siachii ng'ooo. Nakomaa nayo.mpaka pumzi ya mwisho.
Puuhahahahaaaaa.....Mkuu Th Name nikuombe kwa heshima na tahadhima uje uongoze couple hii mpya katika daftari lako..Hakika hii inazidi kupendeza mno..Na tangu sasa mmekuwa mwili mmoja alichokiunganisha Manuu hakuna awezaye kukitenganishi isipokuwa Manuu mwenyewe..
Kwanza mimi nina shida kubwa sana naomba msaada.
Sama mama tumekumisi sanaNapita tu mkuu, jana na leo nimeshikwa nikashikika![]()
![]()
Kuonekana ni kwa nadra tu

Don't be confused man...relax.....Good afternoon peopleeeeee😕😕
Siyo like mkuu,mke wangu amepotea.Msaada wa likes😀😀
Kwanza mimi nina shida kubwa sana naomba msaada.
ha ha ha haaaa,mkuu nimecheka sana.Mkuu Th Name nikuombe kwa heshima na tahadhima uje uongoze couple hii mpya katika daftari lako..Hakika hii inazidi kupendeza mno..Na tangu sasa mmekuwa mwili mmoja alichokiunganisha Manuu hakuna awezaye kukitenganishi isipokuwa Manuu mwenyewe..
upo wewe?Mpo?
Tuko poa mkuu,mishe vipi.Oyooooooooo i hope mpo poa humu
Mkuu acha tamaa ya machooWatoto wazuri jimena, lizzbettie, cute b, nahrene sukari yenu nimefikaaaa
hajapotea mkuu niko nae nampigia pindi la kilimo boraSiyo like mkuu,mke wangu amepotea.

Pdre haoi huyu atakua mchungaji maana naona anatafuta girlNasikia we ndio padre wetu sasa nataka kujua mpaka sasa umeshafanikisha ndoa ngapi?
Mkuu, umechelewa, pole sana.Huyu patience 123 naye already taken😱😱
Kipande ipi
Leo ndiyo siku ya kwanza toka nimezaliwa kuona mtu anakula ugali wa Mawe.