Makapuku Forum

Makapuku Forum

1976 - Gilberto Silva anazaliwa.

Ni kiungo wa kukaba wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Brazil.

Alikuwa anajulikana kama " Ukuta usioonekana "
Screenshot_2016-10-07-10-45-10.png
Screenshot_2016-10-07-10-45-36.png
Screenshot_2016-10-07-10-45-26.png
 
Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya 831 KJ, Mgulani JKT.

Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya Mgulani JKT.
Mbona walistsaf mapema mnoo!!?
 
Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya 831 KJ, Mgulani JKT.

Hiyo picha hapo chini, Ni Kanali Kinana akiwa na Luteni Kanali Kikwete siku ya kustafu kwao utumishi Jeshini wakiwa Kambi ya Mgulani JKT.
OK
Una kumbukumbu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom