Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,234
- 68,268
Asante kwa taarifa.Pia ni mwanamichezo na mchezo wake anaoupenda sana ni JUDO
Asante kwa taarifa.Pia ni mwanamichezo na mchezo wake anaoupenda sana ni JUDO
1952 - Vladmir Putin anazaliwa.
Ni Rais wa 4 wa Urusi. Ni mmoja kati ya viongozi imara wanaoifanya Urusi kuendelea kuwa Imara mpaka sasa.
Alipata kuhudumu katika Jeshi la Urusi na kufikia cheo cha Kanali.
Pia ni moja kati ya majasusi mahiri kuwahi kutokea katika historia ya KGB.
Pia anasifika kwa Martial arts.
Bitoz hunaga mbaya mdogo wangu, umemuwakilisha vyema kabisa..Alinitell jana nimsaidie kuyaleta leo
Kwani si kuna PM
..........
Palii tunapanda ConcordIli wakongo msimudu gharama za tiketi
![]()
![]()
![]()
..........
We mpenzio puli au mkono!!?oya naomba umuheshimu mpz wng(puli)
Sifa yake kuu, huwa haonekani pale timu inaposhambulia.Jamaa alikuwa anajua kukaba, hata fainali za kombe la Dunia nchini Japan aliing'arisha sana Brazil upande wa kiungo
Mia, vip bab jonaadjeee watu wangu wa nguvu?
Napenda kapua kake

Hapana mkuu. Ni kosa kumfananisha JK na Komredi Putin.Kama JMK
Thanks MussoLeo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa Mkwere. tukutane kesho.
Uko vizuri banduguHBD Tony- breath again wimbo niupendao
Hupendi subKafanyaje???![]()
Mh!!!Kifo hakina ujanja...
Kama tete kuwanga tu ikikukosa utoto ukashindwa kwenda shule, basi ujue ukubwan itakusibu ukose kwenda kazini.

1967 - Toni Braxton anazaliwa.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
Powa sanaMorng vip bro!!
I knowIla miaka tofauti mkuu
Morning kiongoziMorng nyote!!!
Morning makaveliKifo hakina ujanja...
Kama tete kuwanga tu ikikukosa utoto ukashindwa kwenda shule, basi ujue ukubwan itakusibu ukose kwenda kazini.
Morng nyote!!!
Ina maana asinge waua Basi wachina wangekuwa wanaishi baharini kama samakiKuna watu wanaroho ngumu hitler mrembo!!
Ila naona population ilichangia.. Huwez kuua watu 5m wakat kinchi chako kina watu 2m.. Maana utakuwa umejiuwa mpaka wewe mwenyewe![]()
![]()

Poa mkuuInakuwaje braza