Makapuku Forum

Makapuku Forum

2001 - Vita dhidi ya Ugaidi duniani vyaanza rasmi.

Hii ilitokana na shambulio la September 11, ambapo Marekani ilianza kushambulia kambi za Al Qaeda huko kwenye milima ya Torabora.
Screenshot_2016-10-07-09-57-47.png
IMG_20161007_095839.jpeg
IMG_20161007_095829.jpeg

Ni milimani.....wakampata gaidi moja dogo wa Al Qaeda ambaye alikuja kuwa msaada mkubwa kufanikisha kukamatwa kwa Osama kwenye operation EKIA(Enemy Killed In Action)

........
 
1952 - Vladmir Putin anazaliwa.

Ni Rais wa 4 wa Urusi. Ni mmoja kati ya viongozi imara wanaoifanya Urusi kuendelea kuwa Imara mpaka sasa.

Alipata kuhudumu katika Jeshi la Urusi na kufikia cheo cha Kanali.

Pia ni moja kati ya majasusi mahiri kuwahi kutokea katika historia ya KGB.

Pia anasifika kwa Martial arts.
Pia ni mwanamichezo na mchezo wake anaoupenda sana ni JUDO
 
1952 - Vladmir Putin anazaliwa.

Ni Rais wa 4 wa Urusi. Ni mmoja kati ya viongozi imara wanaoifanya Urusi kuendelea kuwa Imara mpaka sasa.

Alipata kuhudumu katika Jeshi la Urusi na kufikia cheo cha Kanali.

Pia ni moja kati ya majasusi mahiri kuwahi kutokea katika historia ya KGB.

Pia anasifika kwa Martial arts.
Kama JMK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom