Makapuku Forum

Ni sawa mtumishi na usimamie mstari huu wakati unaenda kuomba...YAKOBO 1:6-7 unasema 6 Lakini aombe kwa imani pasipo shaka yo yote; maana mwenye mashaka ni kama wimbi la bahari ambalo husu kumwa na upepo, likitupwa huku na huku.7 Mtu kama huyo asidhani atapata kitu cho chote kutoka kwa Bwana;
 
Aminia sana mtu wangu jamaa ana vi-element vya usonko hivi so pambana kama vile unavyopambana kupata kazi ila baada ya kuipata wewe ni bata mwanzo mwisho..Ila usije tusahau sasa..kaka cheki ninavyokufagilia hapa ili hali hunakitu kabisa.. jambilo
Nauona wivu wako, nami nataka asiye na kitu, nitamtengeneza awe na hadhi ya malkia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…