Makapuku Forum

Makapuku Forum

Utumishi kamwe hauwekwi pembeni,maana ameweka nadhiri,nitakachofanya ni kuunganisha karama tu,yeyey anakuwa baba mtumishi.na mimi nakuwa mama mtumishi,tukijifungia tunafanya maombi ya nguvu,usimkatishe mtumishi tamaa bhanaa.
Vijana chagueni hivi leo mtakayemtumikia, mimi na patience123 nitamtumikia Bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom