sammoo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 701
- 1,604
apa getoKipande ipi
apa getoKipande ipi
Safi aise nipo zangu k/koo kuzururaTuko poa mkuu,mishe vipi.
Ni sawa mtumishi na usimamie mstari huu wakati unaenda kuomba...YAKOBO 1:6-7 unasema 6 Lakini aombe kwa imani pasipo shaka yo yote; maana mwenye mashaka ni kama wimbi la bahari ambalo husu kumwa na upepo, likitupwa huku na huku.7 Mtu kama huyo asidhani atapata kitu cho chote kutoka kwa Bwana;Mim dio zakayo mkuu, mimi ni jitu la vita nalikwambia jana, au mzee wa kudimamisha jua...Mr. Jo...nadhani hadi hapo na jina umelifahamu wew ni msomi wa bible.
Unajua huyu patience123 nalimwona kitambo nkasikia amani ya ajabu, nkamfuatilia nkajua hadi anaishi wp, nilichokuwa nasubiri ni lile neno..nalithibitishwe na watu wawili,..umethibitisha, naye kathibitishe..ngoja niendelee kuiliza zaidi
Ukimaliza hapo ushike jembe ukalime.
Wapiapa geto
Okay,pole mkuu.Safi aise nipo zangu k/koo kuzurura
Tulia tu ndugu yangu..Puuhahahahaaaaa.....
Nauona wivu wako, nami nataka asiye na kitu, nitamtengeneza awe na hadhi ya malkiaAminia sana mtu wangu jamaa ana vi-element vya usonko hivi so pambana kama vile unavyopambana kupata kazi ila baada ya kuipata wewe ni bata mwanzo mwisho..Ila usije tusahau sasa..kaka cheki ninavyokufagilia hapa ili hali hunakitu kabisa.. jambilo
we njoo tu ukifika apa kwa mwenyekiti ulizia geto la sammoo liko wapiWapi
Dar mvua bana hatari sanaOkay,pole mkuu.
Pole, ila limerudi sasa, tuendelee pale tulipoishia,Nimekutafutia wiii
I feel happy to have you Mtumishi...kwa kuwa utakuwa tabibu wangu wa mwili na roho.Patience123 how do u feel right now my mpendwa
Vipi tena?????Ananiudhi ndiyo maana najikuta naropoka gari ni yake kabisa na ana kagorofa bado hakajaisha..vizuri..

Nipo apa wanapo uza mishkaki ya mmbwa na pakawe njoo tu ukifika apa kwa mwenyekiti ulizia geto la sammoo liko wapi
Tuko pamoja mkuu ndani ya kitu pya mtoto mkali sana yule..Nauona wivu wako, nami nataka asiye na kitu, nitamtengeneza awe na hadhi ya malkia
We nakujua jongoo hapandi mtungi.Nipo nae wala msiwe na shaka wakuu