1976 - Mauro Camoranesi anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.
Alikuwepo kikosini wakati Italy inashinda ubingwa wa Dunia mwaka 2006 pale Ujerumani.
Licha ya kuchezea timu ya taifa ya Italy, Camoranesi ni mzaliwa wa nchini Argentina.