makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,692
Fresh tu, za siku mbili tatuPoa sana mkuu mambo vip?
Fresh tu, za siku mbili tatuPoa sana mkuu mambo vip?
Huku tunamshukuru muumba, vtu vinaenda kama alivyopanga yeye viendeIko njema kabisa, vip wenzao huko
Nilitaka niropoke kitu kama hiki.. Sure we r familyBitoz, mambo vp, hebu fanya oganizesheni kuhusu huyu ndg hata tumshike mkono kiaina. Najua waweza sema neno jema...najua wanielewa
KweliNilitaka niropoke kitu kama hiki.. Sure we r family
Gudi..Yoyote anaweza toa wazo au kuanzisha ishu
Mi nina mpango km muda ukiruhusu akirudi Joto City nitamtafuta nionane nae
................
Nami nakupongeza, binafsi najivunia kf imeniunganisha na watu wazuri sana, sometimes tunataniana hapa watu wanafikiri waliopo humu ni vilerzer lkn humu watu ni vichwa na waonao mbali...hongera kwa kubuni uzi huu mimi umenifaa....wengine mahusiano yamezaa matunda chanyaBinafsi sijawahi onana nae
Lakini kitambo nilikuwa nafikiria kuonana nae 7bu aliwahi kusema anapafahamu huku Luhanga kwahiyo nahisi nipo karibu naye
Muda ukiniruhusu pindi akirudi Dar nitamtafuta.......urafiki wa kweli unavuka mipaka ya KF(Wapo niliowahi kuona na nao)
............
bitozKwani kuna urafiki wa uongo?Safi sana na huo ndio urafiki wa kweli
Pacha wako yupo.. Ila nahisi kichanga tumbon kinamsumbua kawa mvivu kweli, japo hajaniambia ila nahis dalili za kitumbo kujaa!! Baadae ntakuleteaShemla..... Wapi pacha??
Binafsi sijawahi onana nae
Lakini kitambo nilikuwa nafikiria kuonana nae 7bu aliwahi kusema anapafahamu huku Luhanga kwahiyo nahisi nipo karibu naye
Muda ukiniruhusu pindi akirudi Dar nitamtafuta.......urafiki wa kweli unavuka mipaka ya KF(Wapo niliowahi kuonana nao)
............

![]()
![]()
![]()
ametishaa
Mpe salamu
Mambo vp lknMiss u all buddies
Wewe tena ushaanza kulafi lafi maneno..Kwani kuna urafiki wa uongo?
![]()
![]()
![]()
..........
Lazma ashtuke.. Yee anajua kwenye familia wamezaliwa wawili tu, yeye na pacha wake ndio maana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Usishtuke dadake, ni kawaida tu,
Nabakia kuwa kaka na makaveli 10 atabakiwa kuw mwenye mali
Cc makavel 10
Urafiki w uongo upo, mtu anajifanya rafiki ukiwa nazo au wakati wa furaha lkn wakati wa taabu yako anasepaKwani kuna urafiki wa uongo?
![]()
![]()
![]()
..........
Ndo ivoNami nakupongeza, binafsi najivunia kf imeniunganisha na watu wazuri sana, sometimes tunataniana hapa watu wanafikiri waliopo humu ni vilerzer lkn humu watu ni vichwa na waonao mbali...hongera kwa kubuni uzi huu mimi umenifaa....wengine mahusiano yamezaa matunda chanya![]()
![]()
![]()
bitoz
Pia tumfariji mwenzetu musso amekuw na mchango mkubwa sana hapa
Haya ndiyo nilitaka utamka.Ndo ivo
Napendekeza anayejisikia kumpa mkono wa pole amtafute Mussolini PM(mi (Hivyo hapa tusijadili sana)
Tumuache apumzike
................
Changamoto tu za maishaUrafiki w uongo upo, mtu anajifanya rafiki ukiwa nazo au wakati wa furaha lkn wakati wa taabu yako anasepa
Kweli ww 2pac MafujoWewe tena ushaanza kulafi lafi maneno..