Makapuku Forum

Makapuku Forum

Morning all kapuku
1475558871062.jpg
karibuni chai ya kizanzibar.
 
1976 - Mauro Camoranesi anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.

Alikuwepo kikosini wakati Italy inashinda ubingwa wa Dunia mwaka 2006 pale Ujerumani.

Licha ya kuchezea timu ya taifa ya Italy, Camoranesi ni mzaliwa wa nchini Argentina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom