Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
1958 - Katiba ya sasa ya Ufaransa yaanza kutumika kwa mara ya kwanza.
Leo katika Historia:
1725 - Mji wa Rosario waanza kutambulika rasmi huki Argentina.
Mji huu pia ndipo alipozaliwa mwanasoka mahiri wa wakati wote, Lionel Messi.
Asante Angel
1958 - Katiba ya sasa ya Ufaransa yaanza kutumika kwa mara ya kwanza.
Mtukutu1976 - Mauro Camoranesi anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.
Alikuwepo kikosini wakati Italy inashinda ubingwa wa Dunia mwaka 2006 pale Ujerumani.
Licha ya kuchezea timu ya taifa ya Italy, Camoranesi ni mzaliwa wa nchini Argentina.
1963 - Kimbunga Hurricane Flora chaua watu zaidi ya 6,000 huko Cuba na Haiti.
1966 - Nchi ya Basutoland yapata Uhuru wake toka kwa Uingereza.
Kwasasa inajulikana kama Lesotho.
Kimbunga na tetemeko ni kama makazi yake yapo Haiti
1913 - Martial Celestin anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa kwanza wa Haiti.
Morng babu bitoz!!Afadhali jembe umerudi
Viazi vilikuwa vingi
![]()
![]()
![]()
.........
Safi tu, vip hali ndugu yangu..Nzuri kabisa, za kupotea
Mtata sana Julian2006 - Wikileaks yaanzishwa na Julian Assange.