MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Kwani kwa sasa ameiuza?1936 - Silvio Berlusconi anazaliwa.
Ni mfanyabiashara mashuhuri toka nchini Italy.
Ni mmiliki wa zamani wa Ac Milan.
Kwani kwa sasa ameiuza?1936 - Silvio Berlusconi anazaliwa.
Ni mfanyabiashara mashuhuri toka nchini Italy.
Ni mmiliki wa zamani wa Ac Milan.
eti anasema wasitupangie demokrasia,Sasa anabishana nao ili iweje?
Lile ni taifa kubwa huwezi bishana naloeti anasema wasitupangie demokrasia,
Nani huyo? weka picha basi
nilibadili jinaIla ana ID mbili eeh?
Sio bhana.. Nilichanganya madawa.. Unajua mama watoto cwt p kanikaa sana kichwani siku hizi..kumbe huyo wa kike?

au unamchokoza makondaSio bhana.. Nilichanganya madawa.. Unajua mama watoto cwt p kanikaa sana kichwani siku hizi..![]()
Nilitaka kumwambia ukifika huko niitoe mke wangu.. Nikaropoka mengine.. Popote ulipo nisamehe shululu jirani yangu![]()
![]()
![]()
Cc: Shululu msamehe jirani yakoSio bhana.. Nilichanganya madawa.. Unajua mama watoto cwt p kanikaa sana kichwani siku hizi..![]()
![]()
Nilitaka kumwambia ukifika huko niitoe mke wangu.. Nikaropoka mengine.. Popote ulipo nisamehe shululu jirani yangu![]()
![]()
![]()
Hapo sawa nimeona the book kwa avatar lakini jina la the book sasapooooooooooa
Nilikosea.. Wakat naongea nae nilikuwa nakuwaza wewe.. Ndio maana nikakosea, nilitaka aje huko aniitie wewe sasa kile kimuhe muhe ndio kikaniponza..HeeeShululu kawa mpenzi wako tangu lini??!!
![]()
lina nini??Hapo sawa nimeona the book kwa avatar lakini jina la the book sasa
Wa kiume mtoto.. Mbona huelew eehh!!mi mwnyewe nilishangaa,kwan shululu wa kike wa kiume??
NdioThe book ndio Genda heka au??![]()
sasa nimekuelewaWa kiume mtoto.. Mbona huelew eehh!!
Ukiona hvyo kamshahara kadogo hakatoshi kumpelekea iphone 7Mbona mimi hawajanipost mademu zangu dah 🙁
*Wakat naperuz FB na WhatsApp nimeona wadada wengi wamepost picha za wapenz wao, nikajiuliza kuna nn Leo. Kucheki kalenda kumbe mwisho wa mwezi*.
*#hawatakagi ujingaaa*![]()

Ulimuona mdogo wangu!!?alipokuwa na miaka 18 alikuwa bomba sana
Poyee hny....punguza kuwaza sana! kumbuka leo ni siku ya moyo usiupe moyo kazi sanaNilikosea.. Wakat naongea nae nilikuwa nakuwaza wewe.. Ndio maana nikakosea, nilitaka aje huko aniitie wewe sasa kile kimuhe muhe ndio kikaniponza..

Muda wa kuanza kujitawala tulichelewa..Mhh walikuwa na maraisi wengi huku kwetu wa 5 tu![]()