Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ctb3MjAWgAANCND.jpg
 
MAJIBU AMBAYO UKIMSHTUA RAFIKI YAKO ALIYELALA DARASANI ATAKUJIBU;
-
daah inabidi nipunguze kusoma usiku,maana nalalaga saa nane
-mmh hii maths itaniua ni bora nipunguze kusoma
-bora umekuja nilikuwa nakungojea tufanye discussion!!
-aisee umenikatisha nilikua nakaribia kupata jibu la lile swali tuloachiwa
  • Wanafunzi hawapendagi ujinga!!
 
Nyerere alisaidia nchi nyingi za kiafrica, hasa pesa, South Africa, Zimbabwe, Zambia, Namibia, Uganda walipata msaada wa kipesa mkubwa sana,

Sasa pesa hizo kipindi hicho angeamua kuwekeza kwenye Elimu tusingekuwa na watu wasiojua kusoma na kuandika

Vita vya Kagera huwa vinatumiwa tu ili tuamini kuwa vita ni Vibaya
Nmekupata pia mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom