Demu kipindi yuko mjamzito mpaka anajifungua, wazazi wangu walikuwa hawajui kabisa.. coz niliogopa kusema nikimuhofia baba angu coz alikuwa mkali sana. Hivyo maumivu yaliutesa moyo wangu sana.
Ila kwa upande wa mwanamke walinisapoti sana na walikuwa wakinipa moyo. Ila baada ya miaka 2 kupita ndo wakaja home kutoa taarifa.
Baba angu alihuzunika sana akisema kuwa unawezaje kuacha kunipa taarifa kwa matatizo makubwa km haya mpk yanakutesa namna hii.

basi kuanzia hapo nikawa napewa opportunities na wazazi ciz walijua tayar nategemewa.. kila ishu ya pesa nikawa naambiwa niifanye mm
Ngoja niishie hapa lakin mambo mengi sana