Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwanin!!?
Nyerere alisaidia nchi nyingi za kiafrica, hasa pesa, South Africa, Zimbabwe, Zambia, Namibia, Uganda walipata msaada wa kipesa mkubwa sana,

Sasa pesa hizo kipindi hicho angeamua kuwekeza kwenye Elimu tusingekuwa na watu wasiojua kusoma na kuandika

Vita vya Kagera huwa vinatumiwa tu ili tuamini kuwa vita ni Vibaya
 
CtWsAVuWgAAohxk.jpg
 
. 现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本现在,你至少开始学习日语字母,让我们来现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本习一些基本 词汇和现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本现在,你至少开始学习日语字母,让我们来现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本习一些基本词汇和简单的日本的日本

SIPENDAGI UJINGA MIMI!
Kikofia buana
 
JE WAJUA??
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
  • Arsenal wanashikilia rekodi ya kuingia kwenye mashindano na wachezaji 11 kutoka mataifa kumi na moja tofauti,kila mchezaji na nchi yake.
  • Real Madrid inashikilia rekodi ya kushinda mara nyingi zaidi (11) na rekodi ya kushinda mara 5 mfululizo(1956-1960)
  • Barca inashikilia rekodi ya kufika nusu fainali mara sita mfululizo.
  • Ni wachezaji wawili tu waliopewa kadi nyekundu katika mchezo wa "fainali",ambao ni Jens Lehman wa Arsenal na Didier Drogba wa Chelsea.
  • Benifica inashikilia rekodi ya kushinda magoli mengi zaidi katika mechi mbili dhidi ya Dudelange ambapo ilishinda kwa jumla ya magoli 18-0.
  • Mchezaji mkubwa zaidi kucheza UEFA ni Marco Ballorta wa Lazio akiwa na miaka 43.Na mdogo zaidi ni muafrika Celestine Babayaro akiwa na miaka 16.
  • Mwaka 1967 Celtic ilivunja rekodi ya kushinda kombe hilo ikiwa na wachezaji wote wazaliwa wa eneo moja(kilomita 50 kutoka uwanja wao wa nyumbani)
  • Goli la mapema zaidi ni la Roy Maakay wa Bayern Muchen katika sekunde ya 10.
The Book wa Makapuku kwa msaada wa mtandao.
Umri wa waafrika hauaminiki
Simuamini BBayaro

..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom