Naomba hapo kwenye list umtoe Nahrene alafu weka mwingineOfa ofa ofa
Kapuku amazing Na Nahrene wekeni namba ya Voda upate 200MB tarehe 31/4.
Toka jana nilikuwa nataka nimtahadharishe my love dhidi ya jamaa lakini leo kuna post werrason kaiandika na mpenzi wangu bila kumumunya maneno akamwambia wewe yaelekea unapenda sana kuchepuka chepuka...Nimesikia raha mno..Kamjibu vipi tena. Maana yule jamaa ni mvurugaji tu
Kwani wewe miongoni mwa wanaume wa daaa?Kweli kabisa,fanya mpango basi liwe laini kidogo.
Ofa ofa ofa
Kapuku amazing Na Nahrene wekeni namba ya Voda upate 200MB tarehe 31/4.
kua makini kijana unaweza jikuta uko ICUmanuu njoo huku,unaibiwaOfa ofa ofa
Kapuku amazing Na Nahrene wekeni namba ya Voda upate 200MB tarehe 31/4.
Tafuta mtumbwihii mvua hii
Naona makapuku mnaendelea kufarijiana
Hahaha @lala1 viwanja vyote vya mjini anavijua yeye na mimi hela zangu za msimu kama mvua za masika si nitapindiliwa na washika dau.wacha nitafute wa sitimbi mwenzanguBasi muote @lara1
Mhh lara1 na kapuku,.. naisubiria hiiBasi muote @lara1
Acha zinyeshe mkuu maana hazina mipaka....wengine ndo zinatufanya tuwe na uwezo hata wa kutupia comment na kushare na makapuku wenzetu!Haa Haaaa.....hizi mvua Si zinyeshe kijijini huko kwa kina damtanzania
Ukitaka wakwako peke yako tafuta mgomba weka chumbaniHahaha @lala1 viwanja vyote vya mjini anavijua yeye na mimi hela zangu za msimu kama mvua za masika si nitapindiliwa na washika dau.wacha nitafute wa sitimbi mwenzangu
Nimeiona hiyo. Hata Jana alijifanya ana pesa ili ampe baby wangu. Akajibiwa hizo hela zako peleka kijijini kwenu wana shida sanaToka jana nilikuwa nataka nimtahadharishe my love dhidi ya jamaa lakini leo kuna post werrason kaiandika na mpenzi wangu bila kumumunya maneno akamwambia wewe yaelekea unapenda sana kuchepuka chepuka...Nimesikia raha mno..
Kina nani hao ili tusikuingilieunadhani ulivyoninyima ww na wengine hawanipi... Hapa hapa jukwaani nishapata watatu
ushawahi kutolewa hata kabusha kadogodogo kama tikiti kijanaOfa ofa ofa
Kapuku amazing Na Nahrene wekeni namba ya Voda upate 200MB tarehe 31/4.
Mi inaniongezea genye tu kwa kwelihii mvua hii
Kwani tumefiwa??Naona makapuku mnaendelea kufarijiana