Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
1970 - Rais wa Misri, Gamal Abdek Nasser anafariki kwa ugonjwa wa shambulio la moyo huko Cairo.
Anwar Sadat anatangazwa kama mrithi wake.
Anwar Sadat anatangazwa kama mrithi wake.
Sijui kama watafanikiwaKatumwa na Chama Cha Mashauzi (CCM)..Kahongwa huyo aivuruge CIF + UKAWA
![]()
![]()
![]()
......
Bongo hizo luninga za rangi zilichelewa sana jamani mwe1951 - Kituo cha matangazo ya luninga cha CBS chatengeneza luninga za kwanza za rangi na kuziuza huko Marekani
Waitaliano wengi wako hivyo, ukiondoa Lippi peke yakeHawa makocha wengine sijui wana akili gani..
Tatzo la conte lipo on tactics.. Yeye ni defending minded.. Anawaza kuzuia tuu..
Poa poaKm kwenye EURO alikuwa bingwa wa kupaki basi..
Vipigo vitamuhusu sana EPL hata mechi alizoshinda ni kwa kubahatishabahatisha tu
Baadae kidogo basi
.........
Nadhani misri ndo wa kwanza kupata uhuru katka bara la Africa kamasijakosea.1970 - Rais wa Misri, Gamal Abdek Nasser anafariki kwa ugonjwa wa shambulio la moyo huko Cairo.
Anwar Sadat anatangazwa kama mrithi wake.
History kizunguzunguMorning mkwepa kodiMoningi Makapuku wooote
MorningMorning guys
1951 - Kituo cha matangazo ya luninga cha CBS chatengeneza luninga za kwanza za rangi na kuziuza huko Marekani
Katv kabaya kabisa
1960 - Mali na Senegal zajiunga umoja wa mataifa.
Happy birthday nigga1977 - Young Jeezy anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Alitamba na kibao chake cha " My president is black " alichomwimbia Obama mwaka 2008
Haaaahaaaa nimecheka sana asubuhi hii aiseeLeo katika Historia:
Ni siku ya kumuuliza swali mjinga huko nchini Marekani
Wewe songa mbele tu, usigeuke nyuma utakuwa Nguzo ya chumvi kama lipulipuProfesa anaenikatisha tamaa ya kuendelea na shule
1970 - Rais wa Misri, Gamal Abdek Nasser anafariki kwa ugonjwa wa shambulio la moyo huko Cairo.
Anwar Sadat anatangazwa kama mrithi wake.
Huyu jamaa siku hizi amepotea kwenye game, sijui tatizo ni nini1977 - Young Jeezy anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Alitamba na kibao chake cha " My president is black " alichomwimbia Obama mwaka 2008
Enzi hizo kalibamba sanaKatv kabaya kabisa