Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nilienda na bebi wangu Hotelini,nikamwambia agiza chakula..
  • aka beb nyumbani nimekula "kuku"
bhasi ikabidi nimuagizie whisky,baada ya kunywa kidogo akatapika makande,ikabidi nimuulize romanticaly...
  • Bebi ni kweli umekula "kuku" au umekula "chakula cha kuku"?
Sitkagi ujinga mimi
The Book wa Makapuku
Hahahahaha kweli wewe hupendi ujinga
 
Kama conte anataka kubaki na chelsea basi kikosi hiki hapa
1 cotois
2 alonso
3 aspilicueta
4 kolibaly
5 bonuci
6 kante
7 fabrigas
8 batshuay
9 costa
10 wilian
11 hazard

Akitafute mpaka akipate dirisha la january

Sasa hivi anatakiwa kucheza na hawa

1 cotois
2 aspiliqueta
3 alonso
4 luizi
5 tery au zouma
6 kante
7 fabrigas
8 batshuay
9 costa
10 hazard
11 willian
Ni ushauri tu nisaidieni kumfikishia conte

Sina raha kisa chelsea
Mungu anawaona

Afadhali simba yangu huku inanifariji

Halafu gary cahill na branislav ivanovichi mungu anawaona tu

Mlichokifanya ni ujinga na mi sipendagi ujinga
 
jana nimemtumia demu nauli aje gheto hakuja,leo ananiambia kuwa anakuja ila kasahau laini ya voda yenye hela niliyomtumia hivyo nimtumie tena kwa tigo-pesa,
kwa makusudi nikamtumia kwanye voda kulekule na kuongeza na meseji "vipi nikuongeze sh. ngapi??
mara ujumbe huooo "elfu 20 tu my"
Ikabidi nimsevu kwa jina la POGBA sipendagi ujinga mimi.
Hahahahaha huyo anafanya biashara ya papuchi
 
Abunuasi Aliingia Kwa Kinyozi Na
Mtoto,
Akasema Anyolewe Nywele Na Ndevu
Alipomaliza Akasema Na Mtoto Naye Anyolewe,
Wakati Mtoto Ananyolewa Yeye
Akaaga Anaenda
Kumnunulia Mtoto Juisi,
Masaa 3 Yakapita Bila Abunuasi
Kutokea Kinyozi Akamwambia Dogo "Vipi Baba Ako
Amekusahau?"
Mtoto"Yule Sio Baba Angu Alinikuta
Njiani Akaniambia
Tuingie Hapa Tunyolewe Bure."
 
Jumapili baada ya kutoka kanisani tukawa tunasalimiana na mchungaji,baada ya kuona simu yangu akauliza,umenunua sh. ngapi??
kwa kuwa sitoagi sadaka nikasema nimenunua elfu 20 kumbe ni ya laki mbili!!
mchungaji akatoa elfu 40 kisha akasema..
  • kanunue simu kama hizo mbili,moja yangu nyingine ya mke wangu
[HASHTAG]#Mchungaji[/HASHTAG] hatakagi ujinga
The Book wa Makapuku
 
Niaje ndugu zangu makapuku??
IMG_20160927_083106.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom