Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nilienda na bebi wangu Hotelini,nikamwambia agiza chakula..
  • aka beb nyumbani nimekula "kuku"
bhasi ikabidi nimuagizie whisky,baada ya kunywa kidogo akatapika makande,ikabidi nimuulize romanticaly...
  • Bebi ni kweli umekula "kuku" au umekula "chakula cha kuku"?
Sitkagi ujinga mimi
The Book wa Makapuku
 
Nilienda na bebi wangu Hotelini,nikamwambia agiza chakula..
  • aka beb nyumbani nimekula "kuku"
bhasi ikabidi nimuagizie whisky,baada ya kunywa kidogo akatapika makande,ikabidi nimuulize romanticaly...
  • Bebi ni kweli umekula "kuku" au umekula "chakula cha kuku"?
Sitkagi ujinga mimi
The Book wa Makapuku
Hahahahahahaha ha ha, HUYO MANZI NI MBWIGA
 
jana nimemtumia demu nauli aje gheto hakuja,leo ananiambia kuwa anakuja ila kasahau laini ya voda yenye hela niliyomtumia hivyo nimtumie tena kwa tigo-pesa,
kwa makusudi nikamtumia kwanye voda kulekule na kuongeza na meseji "vipi nikuongeze sh. ngapi??
mara ujumbe huooo "elfu 20 tu my"
Ikabidi nimsevu kwa jina la POGBA sipendagi ujinga mimi.
 
Usiyoyajua kuhusu Mpira wa Miguu!!
  • Mwanasoka wa brazil,"Pele" alipewa jina hilo la utani lenye maana ya "miguu sita" kwa kuwa alikuwa na vidole sita miguuni.
  • Mnamo mwaka 1964 simu aliyopokea refa uwanjani huko nchini peru ilisababisha vifo vya watu 300 kutokana na vurugu.
  • Katika kombe la dunia mwaka 1950 timu ya taifa ya india ilitaka kucheza peku lakini FIFA wakagoma,timu hiyo ilisusia mashindano.
  • Pele alipokwenda nigeria kucheza soka katika mechi ya ngao ya hisani,pande 2 zilizokuwa zinapigana vita zilikubaliana kusitisha vita hiyo kwa masaa 48.
The Book,kwa msaada wa mtandao.
Ufafanuzi kuhusu simu aliyopokea refa tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom