MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Hawakufuata kodi, walifuata mgao wao baada ya wao kunisaidia kukwepa kodiHaya vizuri, ya kaisari mpeni kaisari Naya Mungu mpeni Mungu
Hawakufuata kodi, walifuata mgao wao baada ya wao kunisaidia kukwepa kodiHaya vizuri, ya kaisari mpeni kaisari Naya Mungu mpeni Mungu
Nilikwenda kwenye kitwangaTupo, Jana ulipotea sana
Mwisho wako utakuwa mbaya weweHawakufuata kodi, walifuata mgao wao baada ya wao kunisaidia kukwepa kodi
Muda si mrefu nitapotea humu maana charge inakaribia kwishaTanesco wameishafanya yao
TBLNilikwenda kwenye kitwanga
Shauri yao, mimi nitapewa wiki moja nirudishe yaishe, kazi kwao TRAMwisho wako utakuwa mbaya wewe
Mkuu kama ulikuwepo
Utakuwa kama benchmarkShauri yao, mimi nitapewa wiki moja nirudishe yaishe, kazi kwao TRA
Uyasemayo ni kweli kabisa.Bora kuwakaribia kapuku wapya wa3 kuliko vingongo 1000
Bora tuwe wachache tunaoongea lugha 1 kuliko wengi tusio na msimamo
...................
We MKWEPA KODI ni wa long sana...Nilikwenda kwenye kitwanga
Ndiyo kitu gani hicho mkuuUtakuwa kama benchmark
Samtaimu bange zinamuishia kichwani
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
............
acha zako wwHajambo ila ameanza kujitambua hampendi kabisa malaika mpendasifa asiyejaribiwa
Leo anamwaga madini tu
kwani siku nyingine namwagaga mbolea?Sisi tupo juuUyasemayo ni kweli kabisa.
KAPUKU wote sasa tumekuwa masuperstar..
Kila member hapa anatufahamu ipasavyo, hvyo wanatuonea wivu
Rita PoulsenNdiyo kitu gani hicho mkuu
Nasikia karudi school kumaliza darasa la sabaHajambo ila ameanza kujitambua hampendi kabisa malaika mpendasifa asiyejaribiwa
Ukiona hivyo kaguswa mahari pakeHajambo ila ameanza kujitambua hampendi kabisa malaika mpendasifa asiyejaribiwa
Good morning shululuMorning all
Mmmh hapa lazima nitadanganywa tu maana hakuna namnaRita Poulsen