Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lakini KF imewaunganisha
Halafu siku hizi huhitaji ht kutoa thread ili ufahamike
Ni kufanya mambo tu kupitia KF(Thread inayofuatiliwa zaidi)

.....................
Amini msiamini mimi nimebase sana K/f kuliko jukwaa lingine lolote humu JF...huwa naendaga kuchungulia story z uongo na kweli MMU siku moja moja sanaa....Polifix ndio sitaki hata kuingia linanipa stress tu Pambaf
 
Amini msiamini mimi nimebase sana K/f kuliko jukwaa lingine lolote humu JF...huwa naendaga kuchungulia story z uongo na kweli MMU siku moja moja sanaa....Polifix ndio sitaki hata kuingia linanipa stress tu Pambaf
MMU ndo jukwaa linaloongoza kwa story za uongo nimelishit siku nyingi kuchangia ushauri...nasomaga tu

Polifix ndo jukwaa linaloongoza kwa kuboa
........
 
MMU ndo jukwaa linaloongoza kwa story za uongo nimelishit siku nyingi kuchangia ushauri...nasomaga tu

Polifix ndo jukwaa linaloongoza kwa kuboa
........
Khaaa! si mara mia niendeko kwenye Jukwaa la utanashati na fasheni na mimi nijuepo kutupia...kuliko Bullshits! inaboa unatoa ushauri kumbe jitu limetunga story..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom