shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mkwepa kodi vpMoningi werrason
Mkwepa kodi vpMoningi werrason
Moningi mkwepa kodi, TRA wapo hapo mlangoniMoningi werrason

KikofiaNi kweli kabisa..
Maana hii sehemu yetu pekee ya kutambariiing hivyo wakituingilia hatutapata sehem nyngne ya kujidai tena.
![]()
![]()
![]()
![]()

Moningi NIYOMBAREMorning all
Utamvunja miguu kwa kuwakimbia TRA,Moningi mkwepa kodi, TRA wapo hapo mlangoni![]()
Wamefuata mgao wao, nimewapa teh teh teh teh tehMoningi mkwepa kodi, TRA wapo hapo mlangoni![]()
Maana hapa ndio sehemu pekee ambayo tunapendana na kuchekeana & kutaniana 24/7Ni kweli kabisa..
Maana hii sehemu yetu pekee ya kutambariiing hivyo wakituingilia hatutapata sehem nyngne ya kujidai tena.
![]()
![]()
![]()
![]()
Bonjour CherryBonjour![]()
Nimewapa mgao waoUtamvunja miguu kwa kuwakimbia TRA,
Nadiriki kusema kuwa Kf imenifanya niweze kujiamini.Kikofia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Leo anamwaga madini tuSamtaimu bange zinamuishia kichwani
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
............
Ni kwel maana mm nikiona Id mpya hapa naanza kuitathimini kwanza then nikiona kuwa huyu ana nia njema ndo nagonga likesMaana hapa ndio sehemu pekee ambayo tunapendana na kuchekeana & kutaniana 24/7
Tukiiharibu tutaanza kununa kila tukiona ID za wakongwe na dharau zao hapa bdani
Bora tuwafungie vioo mapema .................
Nipo bibie, sema majukumu sometimes yananiweka bizeJamani mkongo nikumiss sana kiukweli

Shwari mkuuMkwepa kodi vp
Haya vizuri, ya kaisari mpeni kaisari Naya Mungu mpeni MunguNimewapa mgao wao
Sali..?Bonjour Cherry
Bora kuwakaribisha kapuku wapya wa3 kuliko vingongo 1000Ni kwel maana mm nikiona Id mpya hapa naanza kuitathimini kwanza then nikiona kuwa huyu ana nia njema ndo nagonga likes
Tupo, Jana ulipotea sanaShwari mkuu