briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Ni njema sana ankali, habari ya wewe?Mambo vp briz
Ni njema sana ankali, habari ya wewe?Mambo vp briz
Kumponda pogba ni sisi tunajidhalilisha, sijui kwa nini sisi ngozi nyeusi hatupendani aiseeArsenal ni kama poo pogba tu
Shabiki wa kutupwa wa chelsea damuKimario The Fix Fan(KTFF)
![]()
![]()
![]()
![]()
..............
Nzuri sana Ankali, naona uko tyte sanaNi njema sana ankali, habari ya wewe?
Hii ngozi nyeusi ni kama tulirogwa ankali yani ni kawaida kabisa kurudishana nyuma wenyewe kwa wenyeweKumponda pogba ni sisi tunajidhalilisha, sijui kwa nini sisi ngozi nyeusi hatupendani aisee
YeapUmeniona eeeh....![]()
Dah we acha tu... Ubize wa kuzuia njaa ankaliNzuri sana Ankali, naona uko tyte sana
Aaaaha mambo bariiidi...nakunywa ka tea masala hapo mkuu, niambieumetisha sana mkuu, mambo ni vipi lakini?



Nilikua nazisaka shem lake nataka mi na wifi yako JJ tukaishi south kama dai na zariJamani karibu shem...where have u been?


Umefanya jambo jema ilikuwa imekaa kihuni sana japo tuliizoea hapa nyumbani, umekuja kivingine hii iko poa sanaaaNimejisikia kuibadili coz ilitimiza mwaka nzima now nakuja kivingine
Tatizo la ile avatar ni ile kata k na mnenguo watu wanapata cha kuongea kwa hapa KF haikuwa na tatizo coz tunataniana tatizo kwenye thread zingine
...............
Safi kabisa hyo tea umetulia nyumbani ama bado upo kwenye majukumu?Aaaaha mambo bariiidi...nakunywa ka tea masala hapo mkuu, niambie
Unawahi wap shem lake? Wikend yote hiiUsiku mwema guys...![]()
Kazi ni kazi kama huifanyi ipasavyo lazima usemwe tu bila kujali ni ngozi nyeusi au nyeupeKumponda pogba ni sisi tunajidhalilisha, sijui kwa nini sisi ngozi nyeusi hatupendani aisee