Makapuku Forum

Makapuku Forum

Usije ukakimbia tu kesho hapa..
Maana ukishinda ndo unakuja huku unajifanya mchambuzi.
Yani kesho baada ya hiyo mechi kumalizika kama sitakuona hapa nitakuja kujutafuta mpaka kule kwenye ile thread yenu
sawa njoo hata kule sio mbaya utanikuta humo ila nitakuepo hapa jamvini
Ila nina wasiwasi na beki yangu tu
 
Nimejisikia kuibadili coz ilitimiza mwaka nzima now nakuja kivingine
Tatizo la ile avatar ni ile kata k na mnenguo watu wanapata cha kuongea kwa hapa KF haikuwa na tatizo coz tunataniana tatizo kwenye thread zingine
...............
Haha haya bana haina mbaya japo mi nlikua namkubali sana yule tembo alikua anawakilisha swaga za kibitoz
 
IMG_20160923_214322.jpeg

Visa vya madenge
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom