Jamani karibu shem...where have u been?Nakumiss sana pia shemela, njoo basi nisharudi![]()
Usije ukakimbia tu kesho hapa..
Maana ukishinda ndo unakuja huku unajifanya mchambuzi.
Yani kesho baada ya hiyo mechi kumalizika kama sitakuona hapa nitakuja kujutafuta mpaka kule kwenye ile thread yenu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


sawa njoo hata kule sio mbaya utanikuta humo ila nitakuepo hapa jamvini Niaje Bitoz? yule tembo bishoo umemuacha wap ama majangili washafanya yao?




Itakua ni hiohioSket yake nan zaid ya my sis...Himenna
Haha haya bana haina mbaya japo mi nlikua namkubali sana yule tembo alikua anawakilisha swaga za kibitozNimejisikia kuibadili coz ilitimiza mwaka nzima now nakuja kivingine
Tatizo la ile avatar ni ile kata k na mnenguo watu wanapata cha kuongea kwa hapa KF haikuwa na tatizo coz tunataniana tatizo kwenye thread zingine
...............
Yuko anawangaNdiyo kashapotea tena
Sina swaga nawacheki kimyakimya



umetisha sana mkuu, mambo ni vipi lakini?Acha fitinaHuku ndio kaonekana leo, baada ya daraja kuvunjwa na Liverpool


Tuipigie kura airudishe hiyo ya zamaniHaha haya bana haina mbaya japo mi nlikua namkubali sana yule tembo alikua anawakilisha swaga za kibitoz
Mambo vp brizHaha haya bana haina mbaya japo mi nlikua namkubali sana yule tembo alikua anawakilisha swaga za kibitoz
Arsenal ni kama poo pogba tuMuda mzuri sana hiyo kesho
Ukweli siku hizi unaitwa fitinaAcha fitina![]()
Tuipigie kura airudishe hiyo ya zamani



kura ya kupoteza imani na avatar mpyaUkinikosa hapa njoo kule kwenye group letuKesho nitamsaka popote pale hadi nmpate
![]()
![]()
![]()
![]()