Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Mukongo uko salama?Thanks JJ
Mukongo uko salama?Thanks JJ
Nzuri kabisa jirani yanguHabari yako jirani
Karibu tena AnkaliFinally nimerudi sasa
Du, kumbe ndio nimejua leoAnakuwa lindoni kumbuka hiyu mtu ni wa muhimu sana humu MP
Umeona eeh?Kuna shida sana huu ukanda wetu wa Africa na ndio maana hata hakuna maendeleo

Record kama 150K to 200KMbona bado vijipost kadhaa tu.. Ngoja waje hapa.. Utaona balaa lake.. Ila naona hizi ni rekod ndogo ndogo watu wanataka kubwa kubwa..
JonaxSijakaelewa
Mzee wa mwikaMukongo uko salama?
Hongera!Hurrey...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mhh bahati yakeLeo katika Historia:
1973 - Rais Juan Peron Wa Argentina anarudi madarakani kwa mara ya tatu akiwa kama Rais wa Nchi hiyo baada ya kupinduliwa katika mapinduzi ya Kijeshi.
Rais wa marasta1980 - Mwanamuziki Bob Marley anafanya tamasha la Rege huko Pittsburgh, ambalo baadae linakuja kujulikana kama tamasha la mwisho kabisa kuwahi kufanywa na Bob kabla ya Mauti kumkuta May 11 mwaka 1981.
Ni wewe.Hivi kati ya mimi au wewe ni nani ambaye anaonekanahapa Kf kwa kusua sua?
Bahati ya mtendeZamani shuleni mwalimu anaingia darasani anauliza kama homework tumefanya, anasema kama kuna ambaye hajafanya apite mbele anaenda kuleta fimbo....akirudi anamkuta mwalimu mkuu kaingia anataja ambao hawajalipa ada ili waende nyumbani af unakuta kwenye hiyo list pia upo...
ndo unagundua Yesu ni Mwokozi.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


Karibu tena.Finally nimerudi sasa
Mi masuala ya Likes ndio nimeshayasamehe....unaweza toa likes kwa wote ila wewe huzipati na binafs nimezoea siwez kupita comment bila kuipenda.
Duuuh we nomaaNilifikiri hulipi ili unipe nami mbinu za kukwepa

NaaamJonax