Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,231
- 68,262
gud
gud
Nilifikiri hulipi ili unipe nami mbinu za kukwepaNalipa mkuu
I'll shot the tariff...... una ujumbe murua
Senks brodahLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Bob Marley, muwe na weekend njema.
Ijumaa Kareem.
Bye!!










Unafungua calculator ya kwenye simu faster, tena siku hizi kuna scientific calculator kwenye simuUpo kwenye chumba cha mtihani swali limekugonga ukaamua kutoa smartphone yako na kuanza ku google kisha ku copy & kupest kwny booklet.
Ghafla lecturer anatokea mara kwa uoga ukaficha calculator na kuweka simu juu ya meza.
HAPO NDIO UTAJUA SHETANI YUPO
![]()
Bepari na dikteta uchwara na bb jeisika upooo!Pamoja kaka
Jonax mambo!hahaaaa! Target yangu imekosa umakini.
tutapambana hapa kwenye post ya 111111
Ameen nawe piaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Bob Marley, muwe na weekend njema.
Ijumaa Kareem.
Bye!!
Sio wa kwanza kufa lakiniNakaribia kufa
Andaeni rambirambi....nguo zote za kitoz nachoma moto
Nitakuachia yeboyebo na boxer(siyo pikipiki)
![]()
![]()
![]()
......
Poa, vipi?Jonax mambo!
Poa sana kakaPoa, vipi?
Poa, za wewe QuigleyShululu, mambo yako vp!
Hivi kati ya mimi au wewe ni nani ambaye anaonekanahapa Kf kwa kusua sua?Poa sana kaka
Inategemea ratiba ya majukumu, hivyo ukiwa free mm nimebanwa, nawe ukibanwa mimi natambaring jukwaaniHivi kati ya mimi au wewe ni nani ambaye anaonekanahapa Kf kwa kusua sua?