shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Usemacho ni kweli kabisaMi masuala ya Likes ndio nimeshayasamehe....unaweza toa likes kwa wote ila wewe huzipati na binafs nimezoea siwez kupita comment bila kuipenda.
Usemacho ni kweli kabisaMi masuala ya Likes ndio nimeshayasamehe....unaweza toa likes kwa wote ila wewe huzipati na binafs nimezoea siwez kupita comment bila kuipenda.
Mkwepa kodi inaonyesha wewe ni fundi wa mifyatuano sana eti eeh? tena haswaa ukiwa kitwanga[emoji23][emoji23]Ni kweli mkuu kwa mfano unapofyatuana na mwenzako mna kuwa bize mpaka jasho linawatoka
Basi ni Kigli ndio adimuAm online 24/7View attachment 405639[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Pogba ni mfransa mwenye asili ya Africa, kwa nini tusipongeze sisi ngozi nyeusi kuwa tumekuwa ghari zaidi Duniani ki mpira?View attachment 405641 Kipindi yuko mdogo
Kikofia buanaNaaamView attachment 405642am here
Jina lake tu kwanzaMzee wa Kitwanga.
Mna like tuu hamjibu swali[emoji51] [emoji51] [emoji51]Nataka kupandisha picha ila sioni namna yakupandisha nisaidieni maelezo ya namna yaku upload photos jf
Mnafyatuana kwanza halafu baadaye ndiyo mnafyatua watotoMhhh! Umezidisha chumvi mkuu! Hivi mnafyatuana au mnaandaa kufyatua?
Ila hajajibu swaliHamna....ubize tu wa kusaka pesa.
Mnachanganya kwanza ndio mnafyatuaMnafyatuana kwanza halafu baadaye ndiyo mnafyatua watoto
Kutumia pesa ni ubusy huoMhh inawekezwa kwanza matumiz sio sana ni ya kawaida tu.
Mkuu atakusikia founder wa kufyatuana malaika asiyejaribiwa shauri yako hahahahahaMkwepa kodi inaonyesha wewe ni fundi wa mifyatuano sana eti eeh? tena haswaa ukiwa kitwanga[emoji23][emoji23]
Nipo lakini sionekan coz am invisible person,Basi ni Kigli ndio adimu
Mkwepa kodi, kumbe umemsoma eheeeMkwepa kodi inaonyesha wewe ni fundi wa mifyatuano sana eti eeh? tena haswaa ukiwa kitwanga[emoji23][emoji23]
Nimemsoma aiseeMkwepa kodi, kumbe umemsoma eheee
[emoji34] nmefanya nini?Kikofia buana
Sawa kabisa mkuuMnachanganya kwanza ndio mnafyatua
Nakuona upo, angalia tu usikamatwe na jiji kwa kuharibu mazingira[emoji34] nmefanya nini?
Mna like tuu hamjibu swali[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Nitarudi kesho.
NDIO,Hivi makapuku ndio wachimbachumvi