Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
NitakuwakilishaKila la heri kwa atakaetupia 110k naiona inanukia kabisa. Bahati mbaya sitaweza kuwepo kwenye kuigombea
NitakuwakilishaKila la heri kwa atakaetupia 110k naiona inanukia kabisa. Bahati mbaya sitaweza kuwepo kwenye kuigombea
HongeraHurrey...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nashuruku saana mkuuHaaaahaaaa, hongera sana kwa 110k
Ahsante kakaHongera
Kumbe huyu ni mkongo?, mimi nilidhani ni mtz mwenzetu, ndiyo maana ametuzidi akiliMukongo morning
Kwanini hutaki kuoga???Nilikuwa jukwaa la siasa, Asante kwa kuniita
Maji ya baridi hahahaKwanini hutaki kuoga???
AsanteView attachment 405321View attachment 405322View attachment 405323
Mpaka hapo basi sina la ziada. Kumbuka tu magazeti haya yaliwajia kwa udhamini wa Makapuku forum
Miss u all
T G I F
Ciao
Leo katika Historia:
1973 - Rais Juan Peron Wa Argentina anarudi madarakani kwa mara ya tatu akiwa kama Rais wa Nchi hiyo baada ya kupinduliwa katika mapinduzi ya Kijeshi.
Hivi Mkwepa kodi ina maana hulipi kodi kabisa?Mama yangu Jimena Jimenes ubarikiwe tumekwishapata mkate wetu wa asubuhi shwaaaari kabisa
Hongera sana..Hurrey...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()