sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Me nilikuwa namsubiri kwa hamuu nimjueBora ungekimbiza kisiri siri tu, kuna watu wanapenda mashindano humu.. Siunaona hawaonekani saa hizi, ila wakisikia umetangazo bato tu, utwaona speed ya duma..
ninalitambua hilo.. na ndo mana sitaki ushindi wa mezani, natala ushindani