Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Thread haifutiki /post ya kwanza unachoweza kufanya ni kuedit kwa kuyaondoa maneno yote isipokuwa uweke herufi 1 tu(can't be empty)Ivi kwamfano mtu akianzisha thread humu JF akaipost ndo haifutiki tena au ? Labda kwa mfano nimebadili mawazo kulingana na nilichokiandika sasa nataka kukitoa, inakuwaje apo ?
Post zingine zote una uwezo wa kudelete kwa kutumia option ya DELETE
.............




