Kaliro X
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 749
- 440
Umbea tuu
Umbea tuu
Kwa uchochezi, unawajalibu watu wakati hawajalibiwi
acha mambo mbayaaLazima aeleweBaelezee jirani
Haya kikofiaacha mambo mbayaa
Umbea tuu
Sad2013 - Al Shabab wanavamia na kushambulia Maduka ya Westgate huko Nairobi nchini Kenya.
Happy birthday Jason1989 - Jason Derulo anazaliwa.
Ni mwanamuziki toka nchini Marekani.
Asante sana bepari wetuLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Bajaj mpya ya Air Tanzania, tukutane kesho.
Bye
Daaah halafu itakuwa kweliItonjanda, ndani ndani huko, kilimahewa..
Teh teh teh teh teh, mkuu hii itupie na kule kwenye jukwaa la siasa
Ipeleke nakuruhusu, hata ile ya ndege, Me sitaki stress na wanachama wa ....Teh teh teh teh teh, mkuu hii itupie na kule kwenye jukwaa la siasa

Mi nilijua walikubaliana na Saida karoli kuurudia tena
, Dimondi nae ni mswahili kha.
Alisema Saida atapata 25% ya mauzo ya huo wimboMi nilijua walikubaliana na Saida karoli kuurudia tena, Dimondi nae ni mswahili kha.
Simo nasema simoMi nilijua walikubaliana na Saida karoli kuurudia tena, Dimondi nae ni mswahili kha.
Kumbe hawajakubaliana?Mi nilijua walikubaliana na Saida karoli kuurudia tena, Dimondi nae ni mswahili kha.
Pamoja Mkuu ShululuNilikuelewa sana