Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Umempata wapi jirani yangu,anatoa heshima kwa kupiga magoti, wasukuma wazuri, huwezi kukuta mnyaki anapiga magoti kama heshima![]()
Nakuona
![]()
![]()
![]()
........
Magoti gani km mbuzi aliyechuchumaaUmempata wapi jirani yangu,anatoa heshima kwa kupiga magoti, wasukuma wazuri, huwezi kukuta mnyaki anapiga magoti kama heshima
Hayo ni maandishi tu hata kwenye kanga yapo...usiyaamini. Sacajo acha nongwa![]()
basi kama umemzidi miaka 20 Kweli we ni mtoto wa juzii maana nimekuacha mbalii

Asante Twin..... Avatar nimeielewa vizuriAsante kwa kutuhabarisha my only Twin
Anasema huyo ni mimi!![]()
![]()
wa wapi huyoo
Anasema huyo ni mimi!
Mbona wanataka nitumie mabuti yangu kuvunja miguu yao......Maana wanakuaibishaa

Nyumbani kwenu![]()
Mbona me sina dada......umemtolea wapi kwani???