Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20160921_192159.jpeg

Leo namleta Profesa maarufu wa Town
.......
 
Msanii: fid q ft lord eyez
Wimbo: neno
Verse : 1

Changanya akili ya kuelezwa na unachokifahamu vyema
Ukweli uwe mchungu kumeza na uwe mtamu kutema
Wengi mlibebwa mgongoni hamwezi ujua umbali wa safari
Naomba mnaponiskia redioni, nisome kwa hii mistari
Naufamisha ufahamu kabla ya ku-rhyme juu ya beat
Namwagika damu hii kalamu haishikiki
Bado wana bang ‘Huyu Na Yule’ na ‘DotCom’ kwenye street
So ukiniona com ujue na-overcome hits
Nahitaji stripes kwenye sneakers, trees kwenye boots
Ili muwe live kwenye speakers, mi nasikika hata ukini-mute
I got lyric pointed that you’re half a star
Another one it’s pointed at your weakest heart
Ile sauti uisikiayo ndani ya moyo wako ndo inaitwa kweli
Na salute poa ni ile ya adui yako sio ya kijeli
Ina tofauti na ile ambayo mchizi wako akiona hujafeli
Hata mauti nayo ufichua maradhi yake ukiwa mwisho wa reli
Mwenye akili hawezilalama ikiwa ni mjinga tu ndo aliwae
Mkatili ana roho ya kinyama na anaamini Mungu yuko nae
Mna sell out na hamfanyi soo the concert
Simshangai Saidi Fella ku-change fani ili atoke
Hawamaanishi wanachosema au kuongea vyenye maana
Haya maandishi nayotema yakipotea ujue una laana
Huu sio mziki wa Maybach, sio mziki wa mafleva
Sikwaziki ka payback, sitishiki mi brave heart
I’m talking keys like way Charles kwa A bars
Mastaa wana dead kwa fans naketi juu ya throne
Fid Q hawamwoni huyu ni Yuda na Lui Vuitton
Lord is born, neno!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom