Makapuku Forum

Makapuku Forum

HIZI NI BAADHI YA TABIA ZA WACHEPUKAJI!

Hachezi mbali na cm yake yuko nayo kila wakati

Text za inbox na alizotuma hufutwa kila wakati

Ukimuomba cm yake ghafula atakwambia hebu kwanza.....

Haweki mlio kwenye cm yake inaita kwa vibration

Namba nyingi haja save na kama amesave bas huwez hisi chochote kibaya kulingana na majina anayosave

Kuna cm nyingine hapokei hata iweje ukiimuliza anakwambia aaah huyo msumbufu tu muache!........

Anapenda kutumia SMS zaidi

Anapenda password na anabadili mara kwa Mara

Akiazima cm yako na kutumia akimaliza hufuta kila kit

Muda wote yuko na cm yake hakai nayo mbali hadi bafuni wengine huenda nazo

Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu cm, anajishitukia

Akiwa anachati anakuangalia Mara kwa Mara kiwiz wizi so wewe utajua anachek program za kawaida tu kwenye cm

Hawez kukuweka kwenye profile yake akikuweka humaliz Masaa mengi anakutoa!!

SI HUKUMU MTU na wala hiyo so kaz yangu kuhuku! Lakini tuwe WAAMANIFU KWA WENZI WETU DAIMA!!!
kuna jamaa yangu mmoja aliwekwa dp wasap sa sijui mtandao ulizingua akashindwa kumtoa akaamua kuandika R.I.P brother w' ill miss u
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom