Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
HahahahaGari ya million 50 unalaza nje lakini mke mahari laki tisa unalalanaye ndani Si uendawazimu huo!!!
![]()
Umijuaje??? Anaibiwa au anaibwa???Huu ni ukweli mtupu
Hahahahaha hii nitaitoa kwenye habari na hoja mchanganyikoGari ya million 50 unalaza nje lakini mke mahari laki tisa unalalanaye ndani Si uendawazimu huo!!!
![]()
Mke Anaibiwaje?Mke kuibiwa rahisi sana kuliko gari tena waweza usigundue
Yeye huyo ndio anafaa sasa, ni kijana mwema sana kwakweli...sahivi yuko single.Ili anitafutie mchumba Kapuku mwenzangu?
Vyote sawaUmijuaje??? Anaibiwa au anaibwa???
Kwanini usigundueMke kuibiwa rahisi sana kuliko gari tena waweza usigundue
Nimeelewa vizuri sana.Kama hataelewa tena basi, sio kosa letu
Kuna tofauti rudi kwa mwalimu wako wa Kiswahili uone!Vyote sawa
Kama ni demu mimi nipo tayari tufyatuane mpaka hamu ziishe, ila ajiandae maana mimi huwa sina utani wakati wa kufyatuanaYeye huyo ndio anafaa sasa, ni kijana mwema sana kwakweli...sahivi yuko single.
Mhhhh si ulisema mabinti wenzangu? nkajua we ni dada...lakini mbona humu wanakuja wanaume tu!!!??Mimi ni mfyatuaji wa kiume


. Bitoz badili jina nakwambia wadada wamwagike humu hiyo Kapuku inawatisha mabinti nilisema mimi. 


Akikujibu nitagKwanini usigundue
Eti, ngoja niende kwenye jukwaa la elimuKuna tofauti rudi kwa mwalimu wako wa Kiswahili uone!
Gari ya million 50 unalaza nje lakini mke mahari laki tisa unalalanaye ndani Si uendawazimu huo!!!
![]()





Sidhani kama atajibuAkikujibu nitag
Mweh! mweh! mweh!Kama ni demu mimi nipo tayari tufyatuane mpaka hamu ziishe, ila ajiandae maana mimi huwa sina utani wakati wa kufyatuana

Umenikumbusha makonda aliposema wamachinga hawajamuelewa JPMMhhhh si ulisema mabinti wenzangu? nkajua we ni dada...lakini mbona humu wanakuja wanaume tu!!!??. Bitoz badili jina nakwambia wadada wamwagike humu hiyo Kapuku inawatisha mabinti nilisema mimi.
![]()
Uwiii....basi nilijua wewe ni mdada sorry nilikuwa nampigia pande kaka angu. Ye mwenyewe ni ME kama weweKama ni demu mimi nipo tayari tufyatuane mpaka hamu ziishe, ila ajiandae maana mimi huwa sina utani wakati wa kufyatuana