Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,256
Bado kuna watu wanasema Mungu hayupo.Hhmm.. Nini tutasema zaid ya kukubali utukufubwa aliyetuumba.
Haya ni maajabu yaliyopitiliza..
Bado kuna watu wanasema Mungu hayupo.Hhmm.. Nini tutasema zaid ya kukubali utukufubwa aliyetuumba.
Haya ni maajabu yaliyopitiliza..
Morning PapaaMorning family
Magu ajifunze hili piaDuuuuuuh Kagame umetishaaa
Oky.. Hapo nimekupata mkuu..Ilikuwa ni sababu za kisiasa zaidi baada ya kuonekana yeye Charlie Chaplin anaunga mkono zaidi Ukomunist kuliko Ubepari.
Kama hataelewa tena basi, sio kosa letuMambo mengi kwakweli
Tunajadili yafuatayo:-
1. Historia ya ndani na nje ya nchi
2. Nukuu mbalimbali wa watu mbalimbali haswaa viongozi
3. Tunachambua magazeti (healines)
4. Tunahabarishwa na Kapuku mwenzetu yale tusiyoyajua
5. Kuna burudani pia Tunaweka miziki ya kale iliyowahi kutamba sana ya nje
6. Kuna vichekesho...message za vichekesho
7. Kuna hadithi tunasoma na kuchambua
8. Kuna nyimbo kali bora na Ma DJ wetu wapo humu
9. Pia sometimes huwa tuna maigizo yetu...tunayajua wenyewe na tuna enjoy, tunafurahi.
Etc...etcYote hayo tunayajadili tukiwa kama Family moja.
Nilikumiss sana jana humu.View attachment 402884View attachment 402885View attachment 402886
Mpaka kufikia hapo sina la ziada. Niite Jimena Jimenes
Shukrani kwenu wote na muwe na wiki njema yenye mafanikio tele
Ciao
Mukongo wewe weweAhsante Jimena Jimenez kwa hisani ya Pogba![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu.. Mbona katika hizi picha ni kama watu tofaut tofaut..
Sio uchwara hilo
Safi sanaa....

Naenda kuzururaLeo katika Historia Orijino:
Kwa udhamini Mnono wa Rooney na Mourinho, niwatakieni Siku njema.
Bye
Nampa hongera mtu kwao..Big up kwa Bitoz amevipaisha visiwa vya kambale mabibo
CC:.............................Bado kuna watu wanasema Mungu hayupo.

Wako vizuri
Mie huwa nawaona akili zao hazina akili na mara nyingi huwa hawajachimba kumsoma na kumtafta huyo mungu mwenyewe..Bado kuna watu wanasema Mungu hayupo.
Matopeni huko sipo, najua anamiliki visiwa tuuNampa hongera mtu kwao..
Bitoz wa matopeni..
How r u cwt"P"Morning....![]()
Kwakweli na haitokuwa kosa langu wala la kapuku yeyote humuKama hataelewa tena basi, sio kosa letu