NUKUU NO 1#
Nataka kwanza tuelewane kabla ya kusema lolote, kwamba siasa bado ni ile ile, haikugeuka hata kidogo
Ni ile ile ya Ujamaa na Kujitegemea.
Kule Zanzibar tulizungumza mambo mengi miongoni mwake ilikuwa ni kutoa baadhi ya vipengere vya katiba ya CCM vilivyochukuliwa toka azimio hilo, ili twende na wakati
Maneno haya yalipata kutamkwa na Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassani Mwinyi, Mach 25,1991 katika ukumbi wa diamond jubilee wakati akizungumza na wazee wa Dar es salaam kufafanunua taarifa kwamba kikao hicho cha Zanzibar kuliua azimio la arusha