sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Na wewe Mbona unaanza kuleta mambo ya majuziiUkiingia soma post ujue uzi umeishia wapi kabla ya kuquote mbona wengine huu ujanja wanajua
Shida ni pale mtu anapoingia na kiherehere cha kuquote post kuanzia alipoishia mara ya mwisho
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......................
Leo tu unapiga taarab hivyo semegi???

