Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mi mwenyewe nina uzoefu wa Law nimekutana na kusoma kesi nyingi
Yaani sheria ni km mchezo kati ya
Mpeleka mashtaka (Jamuhuri) dhidi ya mtuhumiwa ......kinachoamua hukumu ni ushahidi/evidence tena samtaimu ni wa kutunga tu au linachezwa dili
Naamini idadi kubwa ya wafungwa wameonewa halafu wanaostahili wapo kitaa wanakula bata
.................
Daaah......sema ndio hivyo......inabidi unakuwa mpole tuu kama ngamia
 
IMG_20160916_180855.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom