Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umeshindwa game wewe
tapatalk_1474046500260.png
 
Yeah wengi ambao wako jera ukikaa nao vizur ukamuhoji mmoja mmoja fresh na ukimsoma saikolojia utajua tu amefungwa kimakosa...nadhani hii kitu ipo karibu Magereza yote Duniani sio wote wanaofungwa wana hatia wengine wamesingiziwa wakakosa tu mawakili wazuri wa kuwatetea unaweza ukawa innocent ila huna power ya ku prove innocence.
Nyie ndio chanzoo
 
Nakumbuka Jamaa moja huko Marekani alibambikiwa kesi, alifungwa maisha akiwa kijana, kaja kutolewa akiwa mzee kabisa, na watu waliomsaidia kutoka ni wa haki za binadamu walikata rufaa na walipeleka ushahidi wa kesi yote

Na sasa serikali ya Marekani inatakiwa kumlipa fidia ya dola milioni mia mbili
Maisha hayana usawa
 
Now KF inaingia kwenye rekodi ya thread zenye MILLION VIEWS
JF nzima hazizidi hata thread 5
Halafu KF ndo imetumia muda mdogo zaidi

Zingine ni
*ArsayNO thread(kitambo sana)
*Chelsea thread(long time)
*Man Utd thread(miaka kibao)
*Wazee wenzangu wa kuweka mzigo/kubet(miaka kibao)
*African satellite world(kitambo sana) ina 2m views ndo kinara
......................

Viva
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom