Makapuku Forum

Makapuku Forum

Daah sema basi tena......R.I.P zake......kama hajatenda kosa itajulikana siku ya hukumu Ya kweli
Mi mwenyewe nina uzoefu wa Law nimekutana na kusoma kesi nyingi
Yaani sheria ni km mchezo kati ya
Mpeleka mashtaka (Jamuhuri) dhidi ya mtuhumiwa ......kinachoamua hukumu ni ushahidi/evidence tena samtaimu ni wa kutunga tu au linachezwa dili
Naamini idadi kubwa ya wafungwa wameonewa halafu wanaostahili wapo kitaa wanakula bata
.................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom