shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
NUKUU NO 4#
Vijana msisahau kuwa Lenin anasema "unahitaji uchambuzi thabiti wa mazingira halisi (you need a concrete analysis of concrete conditions)" hivyo basi kama Maks (Max) angezaliwa sumbawanga angeandika azimio la Arusha badala ya Das Kapital
Maneno haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere katika ukumbi wa Nkurumah wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM), miaka ya mwanzo baada ya kutangaza Azimio la Arusha
Vijana msisahau kuwa Lenin anasema "unahitaji uchambuzi thabiti wa mazingira halisi (you need a concrete analysis of concrete conditions)" hivyo basi kama Maks (Max) angezaliwa sumbawanga angeandika azimio la Arusha badala ya Das Kapital
Maneno haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere katika ukumbi wa Nkurumah wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM), miaka ya mwanzo baada ya kutangaza Azimio la Arusha