makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,901
- 104,148
Alikuwa anaharibu..Bora alistaafu mapema maana angeharibu.......wenzie son eti yeye sen
Alikuwa anaharibu..Bora alistaafu mapema maana angeharibu.......wenzie son eti yeye sen
Kivipi yaani?Sijui selection hii ya kuzaliwa familia fulani imekaaje.. Maana sielew..
Muda ukitimu, hamna nyongeza, huwa najiskia unyonge nikifikiria umauti na uzito wake..Kweli mkuu.....maaana kifo hakitabiliki

Hapana, ipo kama list ya warithi akitoka nani anafata naniHalaf unaweza kukuta zali linamuangukia mjukuu..
Ndio maisha yalivyo mkuu.Ronaldo halijui hata kombe la uefa linafananaje maskini
Amezaliwa katika familia ya kitajiri hajui shida ipoje, ni nadra sana kufanya hivyo.Sema tu hana roho ya kisafa.. Wengine wanaua wazaz wao kupata utajiri wa milion 30, itakuwa huyo ubilionea.
Oohh.. Oky, nimewaza kama mtoto wa malkia akifa, halaf baadae malkia avute, mjukuu ndio anachukua madaraka.Hapana, ipo kama list ya warithi akitoka nani anafata nani
Halaf torres ana europa,eufa,euro,world cup.Ndio maisha yalivyo mkuu.
Na roho tuuAmezaliwa katika familia ya kitajiri hajui shida ipoje, ni nadra sana kufanya hivyo.
Halafu yeye ni wa pili katika orodha ya urithi wa kiti cha Ufalme baada ya baba yake ambaye ndio namba moja.
Kinalipa
Nini sasa mbona unachukia BARCELONA![]()
![]()
Kumbe mi macho yangu yako vizuriNdiyo maana nikasema bitoz kaona, mimi niliona,nikasema kasoro kubwa ilipo, mengine nikawaachia vipofu wengine![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


AsanteeNukuu ya leo itawajia hivi punde
Viva TutuNUKUU NO 1#
Amani hupatikana unapokubali kuketi meza moja ya adui yako unayemchukulia kuliko wote
Na hapo ndipo unapoweza kumtambua kiongozi aliye jasiri
Anapokubali kuketi na adui yake kwa majadiliano maana yake ni kwamba anajiamini - na hiyo ni sifa kubwa kwa kiongozi bora
Haya yalisemwa na mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Askofu mkuu Desmond Tutu wa Africa kusini.
Alizaliwa huko Klerkdorp, Africa kusini October 7,1931
Mwaka 1978 aliteuliwa kuwa katibu mkuu wa baraza la makanisa ya Africa kusini
Mwaka 1985 aliteuliwa kuwa askofu wa kanisa la Anglican jimbo la Johannesburg na mwaka 1986 akawa askofu mkuu wa Capetown - mweusi wa kwanza Africa kusini kushika nafasi hiyo
Aaah sa si wakazaneMbona unafurah badala ya kumuonea hata huruma..