Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Siku yake badoYule Queen ni kingongo hafi! wanamzushia kufa lakin waapi
Kazi Kweli kweliView attachment 400655 Wale wanaotamani vyura na uzuri wa sura...mwenzenu huyo Nas Escobar anajuta kubroke up na aliyekuwa mwanamke wake wa muda mrefu.
Haya ndio maisha yaanSamtaimu maisha hayatendi haki kastaafu halafu Iceland ndo ikafanya maajabu EURO 2016
.......
Atasubiri sanaaaBaba yao Prince Charles anasubiria Ufalme toka kitambo sana!
Umenena vyema.....Si wamuue Queen Elizabeth
![]()
![]()
![]()
........
inahusikaaHivi hiyo saluti inamaana gani???
Kama vipi wamuwekee sumuuYule Queen ni kingongo hafi! wanamzushia kufa lakin waapi

Asante Asante diktetaLeo katika Historia:
Sina la Ziada, toka mitamboni kwa udhamini mnono wa D.B. Cooper tukutane kesho.
Bye!
Rejea Barack kustaafu tu watu wakachukua word cupSamtaimu maisha hayatendi haki kastaafu halafu Iceland ndo ikafanya maajabu EURO 2016
.......
Na BaleHalafu Ramsey kaja kutamba
![]()
![]()
![]()
.......
Hii imekaa poa sanaView attachment 400690View attachment 400692View attachment 400693
Unataka kumpigia Dikteta Uchwarer?
........
Sijui kwa nini waliipiga marufukuView attachment 400690View attachment 400692View attachment 400693
Unataka kumpigia Dikteta Uchwarer?
........
Wakati alishasema hajalibiwiHuo ni uchochezi...![]()
WasaidieKama vipi wamuwekee sumuu![]()
![]()
![]()
Nataman kuwasaidia ila siwezWasaidie
Mpe hongera zake mchoraji
Wazi landa...Ndala