Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU NO 2#

Nilianzisha mapambano ya kuikomboa Cuba nikiwa na wapiganaji 82.
Kama leo ningerudia kuanzisha mapambano hayo, ningelikuwa wapiganaji Kati ya 10na 15 tu lakini wenye imani kubwa
Katika harakati za kuleta mapinduzi, haijalishi mko wachache kiasi gani ilimradi wote mna imani kubwa na mnachotaka kukifanya

Maneno haya yatamkwa na Rais wa zamani wa Cuba, Fidel Castro.
Alizaliwa huko biran, Cuba Agosti 13,1926
Baada ya kuipindua serikali ya dikteta Batista mwaka 1959,Castro Aliiongoza serikali kama waziri mkuu.
Baadaye akawa Rais kuanzia mwaka 1976 hadi 2008 alipomuachia nafasi hiyo ndugu yake Raul kwa sababu ya kuzorota kwa afya yake
Mpaka sasa afya ya Castro haijatengemaa
Kamanda
 
NUKUU NO 3#


Ilikuwa ni diamond jubilee ambako aghakan alibadili jina langu kutoka Nurdin (maana yake mwanga wa dini) kuwa Al Noor (maana yake mwanga) tukiwa hapo aliendelea kuniita Noor, ndipo watu waliokuwepo wakamuuliza Noor ni nani? Akajibu ni Nurdin, lakini kuanzia Leo ataitwa Al Noor
Na kuanzia hapo nikajukana kama Al Noor na kuachana na jina langu la asili la Nurdin


Maneno hayo ni ya waziri na mwanasiasa wa zamani nchini, Al Noor Kassum, na yamo katika kitabu chake alichokiandika kinachoitwa Africa's Winds of change: Memoirs of International Tanzania
Alizaliwa January 11,1924 alisomea sheria Uingereza,
Mbali ya uwaziri, aliwahi pia kufanya kazi makao makuu ya UNESCO na UN.
Huyu sijawahi hata kumsikia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom