makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,967
- 104,382
Ningeweza tu mkuu... Sio kwa toto lile..![]()
![]()
usingeweza wazungu waliisimamia hii show ilikuwa inalindwa balaa had ngoz nyeupe walichizika ujue ulikuwa mzigo wa maana ila alikufa mapema sana kutokana na magonjwa ya ngono alidhalilishwa sana ila mwili wake wa south waliufuata
Maisha yangu yote warembo kama hawa nimewaona wa3 tu, cwr p, jimena na huyu sarah.. Mara ya kwanza nilijua wako wawili.. Cwr p na pacha wake jimena, na hawa sababu ni pacha nahesabià kama mmoja vile