Makapuku Forum

Makapuku Forum

usingeweza wazungu waliisimamia hii show ilikuwa inalindwa balaa had ngoz nyeupe walichizika ujue ulikuwa mzigo wa maana ila alikufa mapema sana kutokana na magonjwa ya ngono alidhalilishwa sana ila mwili wake wa south waliufuata
Ningeweza tu mkuu... Sio kwa toto lile..
Maisha yangu yote warembo kama hawa nimewaona wa3 tu, cwr p, jimena na huyu sarah.. Mara ya kwanza nilijua wako wawili.. Cwr p na pacha wake jimena, na hawa sababu ni pacha nahesabià kama mmoja vile
 
Ktk historia yake huyu alizaliwa huko south africa kabila lake khoikhoi alichukuliwa kama mtumwa na kupelekwa england kwa madhumuni ya watu kupiga hela kwa kumuweka kwenye jumba la maonesho mbalimbali hii ni kutokana na kuwa na makalio makubwa inaaminika had leo hapajatokea wa kumfunika.

Pia wazungu walikuwa wakilipa hela kwa ajili ya kufanya nae ngono kidogo historia yake ni ndefu sana had kufikia france


Died 29 December 1815 (aged 25–26)
Paris , France
mbona hatar
 
1473844987599.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom